Wale tunaotaka kuowa wake waliotuzidi umri njoo apa

Kuala Lumpur

Member
Joined
Jul 28, 2017
Posts
20
Reaction score
19
Nasikia wasichana kati ya umri wa miaka 18_30 wasubufu sana ni bora uoe single mother au watu wazima, eti ni kwel au
 
Mnataka mfanye kama mtume S.W.A?

Dhamilieni kuoa kabisaaa
 
Kama hali ndio hii basi tusiwasakame maana nao watakua wanasubiria wafikie huo umri wa kiutu uzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…