Wale tunaotaka kuowa wake waliotuzidi umri njoo apa

Wale tunaotaka kuowa wake waliotuzidi umri njoo apa

Kuna mwanamama mmoja baaana mwezi uleeeee nilikumbana nae ktk mazingira ya kihasarahasara tukajikuta tumepaki eneo la sie mtu mbili tu. Sio kwa kutiana kule aseeeeeeee!! Hizo nyegge mnawekeza hadi utadhani mtu anakata roho daaaah, manatiana hadi mnaulizana maswali kwamba eti kwani tunafanya nini hii?? Oyooooo yoooooooo yooooooooo
 
Kwakweli itabidi na mimi nioe alienizidi umri tena miaka yakutosha.
Kichwa kisiniume kwa mawazo ya watoto wakike wadogo maana usumbufu sipendi
 
Hehehe, post inafurahisha. Mbn mateso hayo ndg, kakuzid miaka mingap
 
Ninachojua mimi nataka kuoa msichana niliemzidi miaka 5
Maswala ya kunizidi hilo sio sawa unaweza kutambulishwa mdogo mtu
 
Unataka kuoa Mke utakae kuwa unampa shikamoo baada ya kuamka...!?

Labda kama atatoa yeye Mahali...
hata mimi sikubaliani na hilo wazo, labda kweli atoe mahari sio kwa namna hiyoo
alikuwa wapi asiolewe akiwa na umri wa kawaida
tatizo vijana wa siku hizi wanapenda vitonga so wanatoa justification tu za uongo
napita tu lakini mie nina wangu
 
Wazuri kuwagegeda tu si kuoa. Ni waelewa sana ndio ninachowapendea.
 
Back
Top Bottom