Ha ha ha!!Huku ktaaa kuna jamaa tangu asikie tu kuna barakoa basi akawa fasta tu kuvaa ,sasa Ana mwezi yaan daily anatinga barakoa mpaka nikimwangalia sasa hvi masikio yake yamesogea mbele kama fisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeiona twita mkuuu, sio maneno yangu. hahahahahaSi mchezo
Waziri wa Afya alikataza tusivae Barakoa namba N95 sababu ni chache na tuwaachie wahudumu wa afya. Kwakuwa hili swala linahusu uhai, imebidi nitafute hizi kwani nahisi zitakuwa na ubora zaidi.
View attachment 1431943
View attachment 1431952
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Nimeiona twita mkuuu, sio maneno yangu. hahahahaha
Kichwa kinauma Kinyama.Salaam wakuu,
Huu Ugonjwa wa Corona umekuja na mengi ikiwemo kuvaa Barakoa kuziba mdomo na Pua ili ili majimaji ya Korona yasikupate au hata kama na wewe una Corona usiweke kuambukiza wengine pale unapo piga chafya.
Ila mimi nikiivaa naona ni Mateso makubwa. Wenzangu mnawezaje kuvaa Barakoa asubuhi hadi jioni?
Mimi nikivaa Barakoa muda mrefu, kichwa kinaniuma, nasikia kizunguzungu, macho yanakua hayaoni vizuri, na saa nyingine najisikia homa pae nivaapo Barakoa kuliko siku ambazo Sivai.
Imefika kipindi hata kuvaa najishauri naiweka mfukoni tu. Tena bora ya Kitambaa hizi za kushona, lakini nikivaa vile Special ndo najisikia kufa kabisa.
Nimekuja hapa kuuliza kama ni mimi tu au kila mtu anajisikia kama mimi? Kama vipi tushinikize Shirika la Viwango Tanzania Bureau of Standards (TBS) lifanyie uchunguzi hizi barakoa Zilizoingia Nchini. Naamini hazina viwango. Sababu ukiwa umeivaa ukipumua hewa haitoki nje, ukivuta unavuta hiyo hiyo. Nahofia Barakoa zinaweza niletea maradhi hivyo nina panga kufanya kinyume labda nishauriwe namna nzuri ya kuvaa.
Tangu nianze kuvaa Barakoa Macho yangu yamekua mekundu kama navuta Kaya. Ni mateso kwa kweli, Mungu tuokoe.
Nakosa uhuru wa kuvuta hewa safi. Pumzi ninayo ivuta hainitoshi. Kama nilikua navuta pumzi ya kujaza lita moja, sasa navuta kikombe kimoja tu nikiwa nimevaa Barakoa aka Mask
Leo nmeona idadi ndogo ya watu walovaa Barakoa, nahisi wamekiona cha moto.
Waziri wa Afya alikataza tusivae Barakoa namba N95 sababu ni chache na tuwaachie wahudumu wa afya. Kwakuwa hili swala linahusu uhai, imebidi nitafute hizi kwani nahisi zitakuwa na ubora zaidi.
View attachment 1431952
Mimi sasa
1. Kupumua kwa shida sana
2. Masikio yanauma kwa kutanuliwa na kamba za barakoa
3. Mpaka korona itakapoisha nitakuwa na masikio yamepanuka kama ya paka au kama ungo
Mkuu kwani wewe barakoa yako inajishikizia machoni!!?Hivi watz nani aliyesema barakoa inavaliwa masikioni???
Kamba zikae kichogoni mkuu. sasa kama una kichwa kikubwa kama Chungu hapo lazima kamba zibaneMkuu kwani wewe barakoa yako inajishikizia machoni!!?
ππππ Sawa mkuu nimekuelewa sema kuna zile zingine zenyew kamba zake zinaishia maskioni tu nahisi ndo zinazomuumiza kiongozi kuleKamba zikae kichogoni mkuu. sasa kama una kichwa kikubwa kama Chungu hapo lazima kamba zibane
Hata mimi zinanipa shida sana,barakoa zinatakiwa kuvaliwa wakati wa dharura tu au unapotoka nyumbani,lakini ukiwa nyumbani sidhani kama ni lazima uvae muda wote,mimi nikivaa kwa saa moja tu nasikia mapigo ya moyo yanaenda kasi,pia macho yanawasha na hata pua inawasha,labda waliozoea hizo barokoa ni watu wa viwandani na waganga au wale wanaoishi nchi zenye uchafuzi wa mazingira, nikivaa napumua kama chatu aliyetoka kumeza swala,hawa walioleta huu ugonjwa wametukomoa, hapana pa kukimbilia au kukwepeaSalaam wakuu,
Huu Ugonjwa wa Corona umekuja na mengi ikiwemo kuvaa Barakoa kuziba mdomo na Pua ili ili majimaji ya Korona yasikupate au hata kama na wewe una Corona usiweke kuambukiza wengine pale unapo piga chafya.
Ila mimi nikiivaa naona ni Mateso makubwa. Wenzangu mnawezaje kuvaa Barakoa asubuhi hadi jioni?
Mimi nikivaa Barakoa muda mrefu, kichwa kinaniuma, nasikia kizunguzungu, macho yanakua hayaoni vizuri, na saa nyingine najisikia homa pae nivaapo Barakoa kuliko siku ambazo Sivai.
Imefika kipindi hata kuvaa najishauri naiweka mfukoni tu. Tena bora ya Kitambaa hizi za kushona, lakini nikivaa vile Special ndo najisikia kufa kabisa.
Nimekuja hapa kuuliza kama ni mimi tu au kila mtu anajisikia kama mimi? Kama vipi tushinikize Shirika la Viwango Tanzania Bureau of Standards (TBS) lifanyie uchunguzi hizi barakoa Zilizoingia Nchini. Naamini hazina viwango. Sababu ukiwa umeivaa ukipumua hewa haitoki nje, ukivuta unavuta hiyo hiyo. Nahofia Barakoa zinaweza niletea maradhi hivyo nina panga kufanya kinyume labda nishauriwe namna nzuri ya kuvaa.
Tangu nianze kuvaa Barakoa Macho yangu yamekua mekundu kama navuta Kaya. Ni mateso kwa kweli, Mungu tuokoe.
Nakosa uhuru wa kuvuta hewa safi. Pumzi ninayo ivuta hainitoshi. Kama nilikua navuta pumzi ya kujaza lita moja, sasa navuta kikombe kimoja tu nikiwa nimevaa Barakoa aka Mask
Leo nmeona idadi ndogo ya watu walovaa Barakoa, nahisi wamekiona cha moto.
Waziri wa Afya alikataza tusivae Barakoa namba N95 sababu ni chache na tuwaachie wahudumu wa afya. Kwakuwa hili swala linahusu uhai, imebidi nitafute hizi kwani nahisi zitakuwa na ubora zaidi.
View attachment 1431952
Yani huyo ni mimi kabisa!!!Wengi wanazo mikononi Tu
Utasema kitambulisho
Wewe utakuwa unatumia barakoa ya chini ya kiwango au saizi za nyusi za kichina.Salaam wakuu,
Huu Ugonjwa wa Corona umekuja na mengi ikiwemo kuvaa Barakoa kuziba mdomo na Pua ili ili majimaji ya Korona yasikupate au hata kama na wewe una Corona usiweke kuambukiza wengine pale unapo piga chafya.
Ila mimi nikiivaa naona ni Mateso makubwa. Wenzangu mnawezaje kuvaa Barakoa asubuhi hadi jioni?
Mimi nikivaa Barakoa muda mrefu, kichwa kinaniuma, nasikia kizunguzungu, macho yanakua hayaoni vizuri, na saa nyingine najisikia homa pae nivaapo Barakoa kuliko siku ambazo Sivai.
Imefika kipindi hata kuvaa najishauri naiweka mfukoni tu. Tena bora ya Kitambaa hizi za kushona, lakini nikivaa vile Special ndo najisikia kufa kabisa.
Nimekuja hapa kuuliza kama ni mimi tu au kila mtu anajisikia kama mimi? Kama vipi tushinikize Shirika la Viwango Tanzania Bureau of Standards (TBS) lifanyie uchunguzi hizi barakoa Zilizoingia Nchini. Naamini hazina viwango. Sababu ukiwa umeivaa ukipumua hewa haitoki nje, ukivuta unavuta hiyo hiyo. Nahofia Barakoa zinaweza niletea maradhi hivyo nina panga kufanya kinyume labda nishauriwe namna nzuri ya kuvaa.
Tangu nianze kuvaa Barakoa Macho yangu yamekua mekundu kama navuta Kaya. Ni mateso kwa kweli, Mungu tuokoe.
Nakosa uhuru wa kuvuta hewa safi. Pumzi ninayo ivuta hainitoshi. Kama nilikua navuta pumzi ya kujaza lita moja, sasa navuta kikombe kimoja tu nikiwa nimevaa Barakoa aka Mask
Leo nmeona idadi ndogo ya watu walovaa Barakoa, nahisi wamekiona cha moto.
Waziri wa Afya alikataza tusivae Barakoa namba N95 sababu ni chache na tuwaachie wahudumu wa afya. Kwakuwa hili swala linahusu uhai, imebidi nitafute hizi kwani nahisi zitakuwa na ubora zaidi.
View attachment 1431952
Mvuta sigara na barakoa ni kutesana tu