Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Emptiness
Jr[emoji769]
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikidanganya napata nn mzeeNakuona nakuona unavyodanyanga
Unamuumiza mtume kwa kusema uongoNikidanganya napata nn mzee
Hii ni mpya yangu mzee utanisaidia kama madanganya hapaUnamuumiza mtume kwa kusema uongo
Usijali
Basi haukunielewa.Hii ni mpya yangu mzee utanisaidia kama madanganya hapa View attachment 1405103
Ahaaaa samahani nilihisi unasema nmedanganya fridge kutokula umemeBasi haukunielewa.
Nilimaanisha umedanganya kusema haujasoma hata darasa moja
Fridge za ushuani hizoNimekumbuka friji la home toka mwaka 1998 na bado linadunda tu ukiwasha dakika 20 nyingi baridi mwaaaa na kuganda kabisa
Hapana mzee wangu GAhaaaa samahani nilihisi unasema nmedanganya fridge kutokula umeme
Unakaa kwenye jumba lako au jumba la kupanga ?Swala la kuzima fridge kiukweli hapana kabisa, zima washa zima washa! Unapowasha umeme unatumika mwingi sana kuliko ukiacha liwake.. Mie sizimi ng'ooo ! Labda umeme ukatike wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
MmmmmhKadiri friji inavyopungukiwa vitu ndivyo inavyokula umeme
Jr[emoji769]
Za mitumbaa specification zinaonekana kweli ?Wakati unanunua unasoma specification za fridge mm natumia samsung subiri nitakusomea inakula unit ngapi kwa mwaka
Yes kuna baadhi zinazo kwa wale wanaoleta gradeZa mitumbaa specification zinaonekana kweli ?