Kazi yako ni kuspika soup ya spinachniache utani wa tecno au kazi yangu ya kioski attendant [emoji4][emoji4][emoji4]..
Ebu soma post #20Si kweli otherwise utoe scientific justification..mm navyofaham fridge likielemewa ndo linakula zaidi umeme kwani kitakua linanguruma bila kupumzika
Kazi yako ni kuspika soup ya spinach
hahahaha tutabadili menu au vpAhh wapi mimi kazi ambazo huwezi kushibia jikoni sitaki [emoji4][emoji4]. Kheri nibaki na kioski changu maana walevi zikishawapanda kichwani huwa napata passwords za maisha kibao
Sidhan...
[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]Kuna nyumba nilipanga aisee nikawa najifichaga mana ukionekana unadaiwa umeme.hahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabsaaaa your majestyhahahaha tutabadili menu au vp
Hili lishaisha bdo utekelezajiKabsaaaa your majesty
Mkuu hii sio chai ya mwarobaini![emoji3][emoji3]Kadiri friji inavyopungukiwa vitu ndivyo inavyokula umeme
Jr[emoji769]
Na unaweza kuta ni mwajiriwa mwenye mkataba wa kufika miaka 60 hiyo ofisi kupata ufanisi mpaka yesu arudi
Mwaka 1998 mlikuwa mnaweka nini humo kwenye friji??Nimekumbuka friji la home toka mwaka 1998 na bado linadunda tu ukiwasha dakika 20 nyingi baridi mwaaaa na kuganda kabisa
Kununua Friji nyumba ya kupanga wapangaji wengi ni kujiandalia migogoro.Nyumba za kupanga uswahili zina changamoto
Kadiri friji inavyopungukiwa vitu ndivyo inavyokula umeme
Jr[emoji769]
Itatumia umeme mwingi mara tu baada ya kuviweka hivyo vitu vingi ila vikishapata baridi na vikikaa kwa muda basi friji itatumia umm mdogo kuliko ambavyo ingetumia kama friji ingekuwa na vitu vichache.Friji yangu nikiijaza vitu inawasha taa nyekundu kuashiria kua umeme unaotumika ni mwingi (hii niliisoma kwenye manual book yake) na hiyo taa itawaka hadi vitu vipate ubaridi wa kutosha ndio itazima
Sio chai mkuu. Ni kwamba vile vitu vikishika baridi vinasaidia ku maintain ubaridi kwenye compartment kuliko ambavyo vingekuwa vichache. Hii dhana inatumika hasa kwenye freezerMkuu hii sio chai ya mwarobaini![emoji3][emoji3]
Sio chai mkuu. Ni kwamba vile vitu vikishika baridi vinasaidia ku maintain ubaridi kwenye compartment kuliko ambavyo vingekuwa vichache. Hii dhana inatumika hasa kwenye freezer
hahhaKila kitu samsung.. mimi na tecno langu nakwama wapi kununua ile lg nayoitamani [emoji22][emoji22]
..
mimi naliwasha saa sita usiku hadi saa sita to saba mchana, hapo vinywaji vya wateja wangu havitopoa [emoji4]
Linini