Kananikera aise..nikitaka kugandisha icecubes na zenyewe zinatoka na hiyo harufuπππLifunge tu, kale kaharufu ka friji lisilotumika nakajua
Then usizime otherwise utatesekaKananikera aise..nikitaka kugandisha icecubes na zenyewe zinatoka na hiyo harufuπππ
Hahahaaaa mzee alikua hataki kupitwaHongereni mkuu, mwaka 98 mnamiliki friji.....πππ
I'm 18 years old, shida si kuwa miaka hiyo zilikuwa zinapatikana, ishu ni kuwa ni watu wangapi walikuwa wana uwezo ama uhitaji wa matumizi ya friji. Mkuu nadhani inaifahamu vema jamii yetu.How old are you?!! '98?!! mtaa wa Uhuru Kariakoo umejaa hayo mazagazaga mwanzo mwisho way before '98. Jamani hatuko nyuma kiasi hiki.
Kwamba '98 wenye uwezo au mahitaji ya friji walikuwa wachache?! Hebu acha kudhalilisha Watanzania.I'm 18 years old, shida si kuwa miaka hiyo zilikuwa zinapatikana, ishu ni kuwa ni watu wangapi walikuwa wana uwezo ama uhitaji wa matumizi ya friji. Mkuu nadhani inaifahamu vema jamii yetu.