Wale tunaowasha friji kwa masaa tujuane hapa

Wale tunaowasha friji kwa masaa tujuane hapa

Tatizo mnanunua used.
Fridge nyingi za kisasa zimeboreshwa. Hazitumii umeme mwingi.
 
How old are you?!! '98?!! mtaa wa Uhuru Kariakoo umejaa hayo mazagazaga mwanzo mwisho way before '98. Jamani hatuko nyuma kiasi hiki.
I'm 18 years old, shida si kuwa miaka hiyo zilikuwa zinapatikana, ishu ni kuwa ni watu wangapi walikuwa wana uwezo ama uhitaji wa matumizi ya friji. Mkuu nadhani inaifahamu vema jamii yetu.
 
I'm 18 years old, shida si kuwa miaka hiyo zilikuwa zinapatikana, ishu ni kuwa ni watu wangapi walikuwa wana uwezo ama uhitaji wa matumizi ya friji. Mkuu nadhani inaifahamu vema jamii yetu.
Kwamba '98 wenye uwezo au mahitaji ya friji walikuwa wachache?! Hebu acha kudhalilisha Watanzania.
 
Back
Top Bottom