figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Figanigro toto la knyama unaingizwa mjini na malonya wa Sokota
Sijaelewa. Mia
Mshahara umetoka Afande!!!?.Jiti
Wale viumbe majambazi jamaa zangu. Ukilala na jambazi hautakiwi kuuchapa usingizi man!!
mkuu mi mwenyewe nlivyoenda pale sokota siku ya kwanza nlikuwa sielewi.ukitaka uelewe vizuri nenda pale sokota sugaray usiku.mia
mkuu mi mwenyewe nlivyoenda pale sokota siku ya kwanza nlikuwa sielewi.ukitaka uelewe vizuri nenda pale sokota sugaray usiku.mia
WE MIA MPAKA LEO HII
UNAZOAZOA MANGURUBANGE????
KWANINI WAHATARISHA
life yako kwa starehe
chafu namna hiyo
haaaa!wale wanakuua
na msibani hawafiki wala nini.MIA
Wamekuliza mara ngapi mkuu?. Mia
Iko wapi hiyo? Au unafikiri kila mwanaJF anaishi DSM? Mia
Hamia Sinza kwa wajanja,toka uswazi get value of ur money!wana tabia mbaya sana.ukiwa unakunywa zako bia ukigeuka unakuta chupa imeondoka dawa yao ni kutumia tarumbeta kama kawa na chupa nikiweka chini ina maana kitu nmemaliza.
hawa viumbe wanatabia ya kuelekeza sehemu ya kulala wakidai ndo pazuri lakini kesho yake ukiamka unajikuta umeibiwa hadi socks.dawa yao haulali hadi majogoo,ukimaliza shida zako ni kuondoka kulala mbele kwa mbele.hawapati kitu tena.mia
Pole sana mkuu, watoto wenyewe vipi wanalipa? Mia.
Iko dar maeneo ya sokota,...lakn ni sehemu ya hovyo sana ile.Iko wapi hiyo? Au unafikiri kila mwanaJF anaishi DSM? Mia
Hamia Sinza kwa wajanja,toka uswazi get value of ur money!