figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #21
Iko dar maeneo ya sokota,...lakn ni sehemu ya hovyo sana ile.
ahahahahaaaaaaaaaa_ndio mambo ya Sugar Ray hayo mkuu,....ila sijafika pale miaka mingi kweli kweli mkuuni kweli mkuu ile sehemu ni hovyo sana.inatakiwa ukienda pale uwe umelenga unaenda kufanya nini na utakaa mda gani.kama unahitaji sehemu iliyotulia pale sio.ile ni sehemu ya mishemishe.kila mtu anaenda kwa deal lake.mimi ile tabia yao ya kudeki usku hapo tu ndo wananiudhi.ikifika saa10 wanaanza kukuhamisheni meza eti wanadeki.wananiboa ila basi tu.mia
si utafute mmoja ili utulie naye au kinawasha.
Vijana wa siku hizi mnatushangaza kaka zenu,unamlewesha changu wa nini ? unalala na mwizi ? hawa wajasiriamwili ni wakuelewana bei,lipa,gonga na sepa.Mtu analewa daily bia ya 10 hapepesuki mbona hampendi hela zenu ?wale wa sinza umpate mapema kwenye saa tano usiku.lakini ukimfuata saa10 usiku unakuta wamechoka hata kutembea hawawezi.halafu wanamasharti.utasikia ooh!..mi sijazoea kuinama.halafu wale wa sinza ni double shift.mchana unamkuta pale mlimani city masamaki anajifanya anakunywa juice,jioni kwenye saa 11 unamkuta pale hongera au breakpoint knyama,usiku unamkuta ambiance na sansiro ndo maana unakuta kachoka.mia
wa wapi wako salama bebii,..maake mambo haya hata kwao yapo!.....duh kwa hii thread loh wanaume wa bongo noma
Jamani wadogo zangu miaka ya nyuma tulikuwa tunatumia mbinu hizi,ukiingia chumbani unaficha ufunguo au kuna gesti hawaruhusu mmoja atoke wanasema mlikuja 2 muondoke wote au twende mwenzako akakuruhusu.Pia unajua kabisa una ukame acha blackberry yako home chukua ile ya buku 20 ya promosheni afu kwanini uende eneo la tukio na sijui laki ngapi ni ushamba tu siku hizi ATM na M-pesa chukua cash kidogo tu.umeongea ukweli mkuu,wale viumbe ni noumer.inatakiwa ulale kama upo vitani.mia
wale wa sinza umpate mapema kwenye saa tano usiku.lakini ukimfuata saa10 usiku unakuta wamechoka hata kutembea hawawezi.halafu wanamasharti.utasikia ooh!..mi sijazoea kuinama.halafu wale wa sinza ni double shift.mchana unamkuta pale mlimani city masamaki anajifanya anakunywa juice,jioni kwenye saa 11 unamkuta pale hongera au breakpoint knyama,usiku unamkuta ambiance na sansiro ndo maana unakuta kachoka.mia
mkuu wale viumbe wana timing ile mbaya.kwa mfano wewe unakunywa bia 9 au 10 ndo unalewa.ukienda pale ukaona umelewa kwa bia3 kimbia faster nyumbani wanakuwa wameshakumaliza hao.ndo maana wanafuga kucha ndefu za kufichia mankorogoto yao.ukiwa pale kaa machugamachuga kama uko vitani vile.mia
unavyoleke washakuliza sana hadi unawapatia solution. Pole sana. Mia.
wale wa sinza umpate mapema kwenye saa tano usiku.lakini ukimfuata saa10 usiku unakuta wamechoka hata kutembea hawawezi.halafu wanamasharti.utasikia ooh!..mi sijazoea kuinama.halafu wale wa sinza ni double shift.mchana unamkuta pale mlimani city masamaki anajifanya anakunywa juice,jioni kwenye saa 11 unamkuta pale hongera au breakpoint knyama,usiku unamkuta ambiance na sansiro ndo maana unakuta kachoka.mia
lakini mkuu bora sokota kuliko kule masaki.wale viumbe wa pale maisha club ndo noumer na wauwaji.wenyewe wanakula deal na mapolisi.kwa kuwa kule guest ni tabu wanakupelekeni kwenye nyumba za vingunge wanaoishi ulaya mnaongea na mlinzi mnamuachia kiasi mnaingia.ile mnatoka mnakuta polisi getini eti wamepata taarifa kuna vibaka wamo humu ndani mnawekwa chini ya ulinzi.mnawapeni hela halafu baadae wanagawana na yule demu.au wanakupeleka kwenye mtaa ambao washikaji wapo doria wanawakamateni kwa uzurulaji.mia
lakini mkuu bora sokota kuliko kule masaki.wale viumbe wa pale maisha club ndo noumer na wauwaji.wenyewe wanakula deal na mapolisi.kwa kuwa kule guest ni tabu wanakupelekeni kwenye nyumba za vingunge wanaoishi ulaya mnaongea na mlinzi mnamuachia kiasi mnaingia.ile mnatoka mnakuta polisi getini eti wamepata taarifa kuna vibaka wamo humu ndani mnawekwa chini ya ulinzi.mnawapeni hela halafu baadae wanagawana na yule demu.au wanakupeleka kwenye mtaa ambao washikaji wapo doria wanawakamateni kwa uzurulaji.mia
Dah kile kiwanja changu cha kula zile kokwa zA mbuzi pale nje. Hua naanza na zile korodani choma kama ishirini hivi halafu napiga na kasichana ka konyaji ile mijizi ikinifata mezani nashika mmoja nginjanginja kwenye premior yangu kalasi
siku moja nlimuokota pale msasani club.tukaenda guest.nikajifanya mjanja nkachukua self.nlipotaka kulala kitanda nikakivuta usawa wa mlango ili asintoloke.ile naamka asubuhi najikuta peke yangu.kuangalia vizuri kumbe nlikuwa nmejichanganya ule mlango ulikuwa unafunguka kwa nje.dah!pombe ni noumer.mia
wale wa sinza umpate mapema kwenye saa tano usiku.lakini ukimfuata saa10 usiku unakuta wamechoka hata kutembea hawawezi.halafu wanamasharti.utasikia ooh!..mi sijazoea kuinama.halafu wale wa sinza ni double shift.mchana unamkuta pale mlimani city masamaki anajifanya anakunywa juice,jioni kwenye saa 11 unamkuta pale hongera au breakpoint knyama,usiku unamkuta ambiance na sansiro ndo maana unakuta kachoka.mia