Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi una taarifa kwamba sahivi mnaenda kufanywa vibaya katika soko lenu la iPhone chakavu za makumbusho. The phones coming out from iPhone 12 will be irrepearable. Ikifa unatupa maana hardware tofauti na za kutoka na simu hazifanyi kazi😂😂😂
Jamaa una wivu sana wewe, sio mtu wa kawaida.Hivi una taarifa kwamba sahivi mnaenda kufanywa vibaya katika soko lenu la iPhone chakavu za makumbusho. The phones coming out from iPhone 12 will be irrepearable. Ikifa unatupa maana hardware tofauti na za kutoka na simu hazifanyi kazi😂😂😂
Hivi una taarifa kwamba sahivi mnaenda kufanywa vibaya katika soko lenu la iPhone chakavu za makumbusho. The phones coming out from iPhone 12 will be irrepearable. Ikifa unatupa maana hardware tofauti na za kutoka na simu hazifanyi kazi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa ndio tutawaona wababe wa iPhone. Maana brand mliishusha sana kuuziana iPhone chakavu kila boya anamiliki iPhone.On the other hand inaepusha substandard parts maana kuna upuuzi mwingi sana kwenye black market alafu kila mtu anajifanya mtaalam, Parts za 5S mtu anaweka kwenye SE , parts za 5 mtu anaweka kwenye 5s na sometimes mteja na muwekaji wote hawajui . Chaguo ni lako
Hapa ndio tutawaona wababe wa iPhone. Maana brand mliishusha sana kuuziana iPhone chakavu kila boya anamiliki iPhone.