Wale wa bajia kachori pweza supu

Pale mbagara Zankem Stend uwiii mida ya jioni Meza za pweza na kacholi zinajaza watu huwa najiuliza hivi hao pweza wana utamu kiasi gani? Mimi nikiwaona tu naogopa hata kuwasogelea wameumbwa vibaya.
 
pale sinza-mori kuna jamaa anapika hayo mazaga-zaga aise haipiti siku bila kusogea pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…