Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehehehe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]tumia upupu
Sent from my Iphone mpyaaa nimenunua million mbili..!!
Jozee hujambo?
Pole. Kalale mkuu!Aah mnakerah bhana, such a non sense n shame on u guyz, make ur own thread from such a stupid thingz like thz, its ridiculous to publicize ur's personal matters.....
Post sent using JamiiForums mobile app
Kama unakerwa kwanin uanze kuchangia pita juu kajambeAah mnakerah bhana, such a non sense n shame on u guyz, make ur own thread from such a stupid thingz like thz, its ridiculous to publicize ur's personal matters.....
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji120] [emoji120] [emoji120] axnte mkuu mume wangu BL pita hku uone jpo we hufanya kwa emergency!!PUNYETO.
Ni kitendo cha kusugua sehemu ya siri ya uzazi kwa kutumia mkono au sabuni na kufika kileleni.
MADHARA 36 YA PUNYETO.
1.Ni chanzo kikubwa cha kupoteza kumbukumbu na kukufanya ushindwe kufanya vitu kwa umakini.
2.Kitendo hiki huondoa baraka na neema za Allaah kwani kinamuudhi sana Allaah.
3.Huuwa na kumaliza nguvu za kiume kabisa.
4.Husababisha uchovu muda wote.
5.Humfanya mtu kupoteza nguvu za mwili na kumfanya kuwa legevu na mvivu.
6.Husababisha mwanaume kutoa mbegu haraka wakati wa tendo la ndoa.
7.Husababisha msongo mkubwa wa mawazo.(mawazo kuwa mengi)
8.Husababisha mtu kukosa hamu kabisa Ya tendo la ndoa hata akiwa na mke wake.
9.Husababisha ukhanithi (ugumba).
10.Humfanya mtu ambae hajaowa ashindwe kuowa
11.Husababisha mtu kuathilika kisaikolojia.
12.Huzidisha woga kwa wanawake.(kuogopa wanawake).
13.Humfanya mtu ashindwe kuona umuhimu wa wanawake.
14.Inaweza kumfanya mtu kukonda na mifupa ya mashavu kutokeza.
15.Humfanya mtu kuwa mtumwa wa kitendo hicho.
16.Ni maasi na athari ya kudumu inayouwa afya ya mwili na akili.
17.Kushindwa kusimamisha uume zaidi ya mara 1 na uume kuwa legevu.
18.Maumivu ya mgongo.
19.Kusinyaa kwa nywele.
20.Maumivu ya makende.
21.Maumivu ya kiuno.
22.Pia inaweza kusababisha umasikini kwa sababu mtu hupoteza nguvu,kumbukumbu, na kuwa mlegevu na mvivu.
23.Inachangia kushindwa kufikia malengo kwa sababu huuwa mfumo wa fahamu na uwezo wa kufanya jambo kwa makini.
24.Inadhoofisha mwili na kuufanya jalala la maradhi
25.Huondoa nuru ya macho.
26.Huzidisha mapigo ya moyo kama mtu mwenye presha.
27.Hufanya ngozi ionekane kama ya mzee.
28.Husababisha kuvunjika kwa ndoa.
29.Humfanya mtu kutazama na kuwaza sana wanawake, na pia kutazama sana picha na video za ngono.
30.Kuumwa ma kichwa mara kwa mara.
31.Kukosa nguvu kwenye jointi za magoti.
32.Kupungukiwa mbegu katika mfuko wa uzazi.
33.Kuharibika kwa mishipa ya fahamu na uti wa mgongo.
34.Humfanya mtu kusinzia ovyo kila anapomaliza punyeto.
35.Mpiga punyeto hana uwezo wa kumfikisha mwanamke kileleni.
36.Ni aibu kubwa sana kwa jamii.
Post sent using JamiiForums mobile app
Hivi demi una sababu gani ya kupiga punyeto wakati Pm zetu kibao unazikaushia? Usijitie sugu.Nimeacha punyeto tangu jana. Shetani shindwaaaaaa...
Mambo binti. Hulali mama[emoji120] [emoji120] [emoji120] axnte mkuu mume wangu BL pita hku uone jpo we hufanya kwa emergency!!
Haha anzisheni thread yenu maalum
Samsung S8