Jamani sisi tuliopitia vyuo vya kati(diploma holders) karibia wote tumekosa mikopo ya kusoma elimu ya juu 2014/15 na wengi wetu tuliapply program zenye kipaumbele(priority) kama vile engineering na ualimu lakn hatuna mikopo, sasa je sisi wa diploma tunachukuliwaje??? au bodi ya mikopo na Nacte wanataarifa gani kwetu?? watuambie tu sio kuwa tunatoa elfu 30 kwenye hamna....