Hapa tunasaidian kimawazo sio ishu za kuanza kuweka kejel au kuongea vitu kwa kusanifu watu. kama Huna ishu ya kuandika huku kaa kimya wengn wanapata mambo muhim. mambo ya form six na diploma yanatoka wap wakat umeona kuwa wanataka watu wa diploma kujadili ishu za msingi. mm nashindwa kuelewa watu wengin sijui wapoje jiheshimu fanya yako tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.