Hapa tunasaidian kimawazo sio ishu za kuanza kuweka kejel au kuongea vitu kwa kusanifu watu. kama Huna ishu ya kuandika huku kaa kimya wengn wanapata mambo muhim. mambo ya form six na diploma yanatoka wap wakat umeona kuwa wanataka watu wa diploma kujadili ishu za msingi. mm nashindwa kuelewa watu wengin sijui wapoje jiheshimu fanya yako tu.