Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Mkuu; Afadhali umemwuliza manake anadhani wote humu Jf ni kama yeye.Hivi unaijua concentrated sulphuric acid? (H2So4)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu; Afadhali umemwuliza manake anadhani wote humu Jf ni kama yeye.Hivi unaijua concentrated sulphuric acid? (H2So4)
Acha kuleta habari za kuokotea okoteza hapa, hiyo si kweli kabisa na haiwezekani kabisa. Unaijua vizuri Sulphuric acid? Hii video iko you tube na ni fake 100%Huyu jamaa anaunguza karanga kwa kutumia kemikali ya "sulphuric acid" na kutembeza mtaani! Karanga! Karanga! Waswahili hatutaki shida ya mambo ya kuthibitishwa ubora tunaona tunanyanyasika!
View attachment 2954811
Tena anatawaza akiwa katoka kukandwa na baba tobo 🤣🤣🤣🤣🤣Hii mbona ni kawaida sana, watu wanatumia maji ya kutawazia tupu kwa kupikia vyakula mgahawani.
Woiiiiih