Huyu jamaa anaunguza karanga kwa kutumia kemikali ya "sulphuric acid" na kutembeza mtaani! Karanga! Karanga! Waswahili hatutaki shida ya mambo ya kuthibitishwa ubora tunaona tunanyanyasika! View attachment 2954811
Acha kuleta habari za kuokotea okoteza hapa, hiyo si kweli kabisa na haiwezekani kabisa. Unaijua vizuri Sulphuric acid? Hii video iko you tube na ni fake 100% View: https://www.youtube.com/watch?v=4LVOCJJR2IU