vitunguu ilikuwa zamani, siku izi eneo hilo hakuna tena jeneneke
jeneneke mi sio mwenyeji wa maeneo hayo, nimeokoka siku izi hehehe
Namaanisha Mwanza na Musoma na vitongoji vyake,
Mimi ni mgeni huku,nimekuja kikazi pande hizi, natafuta kampani(girls only) tubadilishane mawazo(zaidi ya kimaendeleo) nyakati za jioni(baada ya muda wa kazi) aliyeko pande hizi ani'pm tafadhali.
Girls dont leave this opportunity to pass by...
Hapo Mza ulizia maeneo ya vitunguu utajipakulia tu mwenyewe hutajuta kwenda rock city