Bro hio receiver ni aina gani bei yake tsh ngapi?Hii ndio tunaita elimu mkuu, asante kwa bandiko hili. Nitakuwa nalipitia taratibu ili kuongeza maarifa zaidi kwenye ulimwengu wa satellite dish na receivers.
Kwa sasa nimenunua FTA receiver yenye uwezo wa powervu, je unaweza kuelezea hii terminology ya powervu na jinsi inavyofanya kazi?
Najaribu sana kuunganisha wifi dongle ili niweze ku-unlock baadhi ya chaneli kwa kutumia internet.
ok mkuu
Ni GTMedia powered by Freesat, bei yake ni 130,000/-Bro hio receiver ni aina gani bei yake tsh ngapi?
Mie hamu yangu ni local Chanel tu naweza pata zote za bongo kwa c band?Ni GTMedia powered by Freesat, bei yake ni 130,000/-
Unaweza kutumia antenna au dish, ni choice yako tu mkuu. Utapata channeli nyingi (karibia zote) za bongo for free. Ukitumia dish unaweza kupata movie channels za kutosha kuanzia za kihindi, HBO, MCB na nyingine nyingi, news channels kama CNN, BBC, Al-Jazeera, CNGT na nyingine nyingi tu.Mie hamu yangu ni local Chanel tu naweza pata zote za bongo kwa c band?
Dish kubwa au Hata Haya madogoUnaweza kutumia antenna au dish, ni choice yako tu mkuu. Utapata channeli nyingi (karibia zote) za bongo for free. Ukitumia dish unaweza kupata movie channels za kutosha kuanzia za kihindi, HBO, MCB na nyingine nyingi, news channels kama CNN, BBC, Al-Jazeera, CNGT na nyingine nyingi tu.
Dish la 6ft(180cm) mkuu.Dish kubwa au Hata Haya madogo
Unajuaje labda ndio yeye, mhimu elimu isambae.Hizi notce umeeandika ww au umekopi kwenye blog ya yule muhaya
Unajuaje labda ndio yeye, mhimu elimu isambae.
Sawa lakini mleta mada unamjua ni nani?Lakini ukitumia material ya mtu ni vizuri kumtaja
Ukiona hivyo ujue haikuhusu. Inaowahusu wameshatoa Shukrani zao.Hayo yote uliyoyaeleza sisi tuliosoma HKL zinatusaidia vipi kuelewa? ungetuambia lugha rahisi kabisa kama una uwezo wa kuuza na kuunganisha dish ili zikamate bure bila kulipia kwa viwango vya juu sisi tutatoa pesa tunachotaka ni maisha rahisi hayo madude magumu uliyoyaeleza mka discus kwenye vipindi vyenu madarasani
Kwahio mfano TBC na Chanel ten walibadiri masafa jee wabaki kwenye 906 au wako kwingine?Unaweza kutumia antenna au dish, ni choice yako tu mkuu. Utapata channeli nyingi (karibia zote) za bongo for free. Ukitumia dish unaweza kupata movie channels za kutosha kuanzia za kihindi, HBO, MCB na nyingine nyingi, news channels kama CNN, BBC, Al-Jazeera, CNGT na nyingine nyingi tu.
Mie niko mkoani antena mitambo mmejenga? Vifaa kamili ni tsh ngapi inakua tayari?Unaweza kutumia antenna au dish, ni choice yako tu mkuu. Utapata channeli nyingi (karibia zote) za bongo for free. Ukitumia dish unaweza kupata movie channels za kutosha kuanzia za kihindi, HBO, MCB na nyingine nyingi, news channels kama CNN, BBC, Al-Jazeera, CNGT na nyingine nyingi tu.
Channels za ndani, TBC na channels nyingi za home nime-tune IS 906 64.2°E. Pia ukifunga C band kwenye IS 20 68.5°E kuna channels za kutosha kuanzia Sony Entertainment, Discovery Channels India, BBC, CNN, HBO na AFN.Kwahio mfano TBC na Chanel ten walibadiri masafa jee wabaki kwenye 906 au wako kwingine?
Yap,kwanini usifanye mpango mtu akisema anataka local una save mwenyewe iluli shughuli ya fundi isiwe ngumu wengi sio wataalamu sana,hebu fikili wazo langu iwaje?Channels za ndani, TBC na channels nyingi za home nime-tune IS 906 64.2°E. Pia ukifunga C band kwenye IS 20 68.5°E kuna channels za kutosha kuanzia Sony Entertainment, Discovery Channels India, BBC, CNN, HBO na AFN.
Ni GTMedia powered by Freesat, bei yake ni 130,000/-
HKL Kaa pembeni Ila unapoangalia mpira kama leo Barca anavyomfundisha kabumbu liverpool ujue kuna wakali tumeseti haya mambo. We kaa pembeni .Hayo yote uliyoyaeleza sisi tuliosoma HKL zinatusaidia vipi kuelewa? ungetuambia lugha rahisi kabisa kama una uwezo wa kuuza na kuunganisha dish ili zikamate bure bila kulipia kwa viwango vya juu sisi tutatoa pesa tunachotaka ni maisha rahisi hayo madude magumu uliyoyaeleza mka discus kwenye vipindi vyenu madarasani