Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

Dah nmekuwa fund kwa zaid a miaka 10 xx ila haya uliyoyaeleza ndo nmeyaelewa leo maana yake maana nlikua nkifanya kinamazoea yaan utundu bila elimu na mambo huwa yanaenda vzr tu
Heshima kwako mkuu
Hakika
 
Hivi kariakoo receiver na vifaa vya dish kwa ujumla maduka yake yapo sehemu gani?
 
Dekoda zake zimandika digital video broadcasting
Decoder au receiver (king'amuzi) ni kifaa ambacho kinaconvert mawimbi kiliopokea kwenda mfumo mwingne. Niweke swali vizuri kwako, je satellite zilizopo juu zinatuma mawimbi ya analog au digital kuja duniani?
 
Decoder au receiver (king'amuzi) ni kifaa ambacho kinaconvert mawimbi kiliopokea kwenda mfumo mwingne. Niweke swali vizuri kwako, je satellite zilizopo juu zinatuma mawimbi ya analog au digital kuja duniani?
Si mtaalamu sana,nahisi ni digital kwani visimbuzi vingi vya DTT hua vimeandika hivyo
 
Lock mojawapo wanayotumis kufungia channel. Kuhusu internet kuna vitu vinahitajika iweze kuwa active
 
Ni vitu gani mkuu? Nipe mwanga nipate pamoja kuanzia...
Tafuta modem ya huwaei pia iseti risiver yako ipokee donge. Au Kuna ka wife fulani ambayo ukiwa nayo unatumia hotsport ya simu
 
Nimeonapicha hii mtandao sasa naomba kuulizanamna ya kuipata hiyo channel ni lazima uwe na receiver y mpg4 au ht mpg2


Vp receiver y wiztech8030 ipo vzr ??
 
Eli
 
king'amuz cha Ting(Dish) kinaandka “Descrambled rejected” chaneli nying hazionyesh adi hiz za nyumban..Apa tatzo ni nn mkuu Eli79 na wajuvi wengne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…