Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

Nahitaji kufunga satellite dish nipokee hizo channels hapo juu, kuna mtu najua?
 
Msaada wakuu mimi niko na shida ya kuangalia mpira ligi ya bongo nina smartphone ina bando mchawi ni account ya azamTv max yangu kifurushi kimeisha sasa hapa usawa haukabi kwa mwenyewe azamTv decoder ambae hatumii kweny cm au hata anaetumia anisaidie ni angalie hata kwa leo tu wajameni.. Au aje tubadilishane anipe ya azamTv mimi nimpe ya Dstv.. Asante, Dm tafadhari.
 
Ya dstv umelipia kifurushi gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…