Wale wa maeneo ya Songea - mbinga

Wale wa maeneo ya Songea - mbinga

chief_

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
830
Reaction score
1,395
Habari zenu wakubwa wa jukwaa kubwa hili la kijamii tz na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Ninaimani humu ndani kuna kuna watu kutoka pande mbalimbali, basi wale wazee wenye machimbo pendwa ndani ya Mbinga na songea tufahamiane.

Kuna baridi sana huku sijawahi ona.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Habari zenu wakubwa wa jukwaa kubwa hili la kijamii tz na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Ninaimani humu ndani kuna kuna watu kutoka pande mbalimbali, basi wale wazee wenye machimbo pendwa ndani ya Mbinga na songea tufahamiane.

Kuna baridi sana huku sijawahi ona.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni biashara ya mazao kwa sasa, karibu sana.
 
Baridi inapuliza hasa,nadhani mbinga ndo imezidi.
 
Haswaa.. Yaani asubuhi mchana usiku, ni baridi.. Unafuu wa mchana ni kukiwa na jua tu
Mbinga kuna hali fulan inataka kufanana na ya njombe...ile milima milima,miti mingi,baridi ndo kwake hapo.
 
Zzao gani linalipa kwa sasa mkuu
Naona mahind yameanza na bei nzur kidogo ukilinganisha na mwaka jana,ni mategemeo ya wengi kuwa yatapanda bei vizur sana baada ya muda mfupi.
 
Kama upo mbinga karibu kiwanja cha kijanja..hapa stend mlango wa kutokea magari.panaitwa PLUS DE LOUNGE...nipo nafanya yangu
 
Huko mashambani, naona Kenya tunawauzia ni kweli inaweza fikia pazuri baada ya muda... Mwaka jana watu walipata hasara sana. Wewe unafanya hizo.?
Yatafika mkuu,wakati kama huu mwaka jana kilo ilikua sh.130 had 150 hiv...mwaka huu wengi hawajalima na waliolima wengi hawajapata sana,na sasa kilo sh.380 had 400 huku kijijini,inaweza ikashuka kidgo msimu huu wa mavuno, lakin itakapopanda haitashuka tena.
 
Huko mashambani, naona Kenya tunawauzia ni kweli inaweza fikia pazuri baada ya muda... Mwaka jana watu walipata hasara sana. Wewe unafanya hizo.?
Ndiyo nafanya,lakin kwa kias kidogo sana kifamilia.
 
Inaonyesha mnapiga sana bata wakuu..

Kumbe humu tumo tumo japo mkoa wetu umetengwa sana. Inapendeza sana.
Hometown kabisa Zao la Huruma na Mbinga day nimefurahi kuona huu Uzi umenifanya nijihisi nipo home.
 
Oh... Naomba niulize Bei yake ikoje na soko lake hasa huu ufuta.
Nilidhani maharage na mpunga asee
Mahindi 400-430@1kg,mpunga upo mwingi mashambani bei ni kisado kimoja kati ya 1,200-1,500
 
Back
Top Bottom