Wale wa Mbeya Day

Nakumbuka enzi za Mwl. Mwakas... alitutandika sana viboko. Pia,zile bustani za mboga kule chini karibu na mto.

Pia nakumbuka kulikuwa na stream mbili ABC na LMN. Waliokuwa A na L ni science one.
Si useme tu Mwalimu Mwakasala Mzee wa kuntu kumu
 
Ambao hatujawahi kupiga piga umande tunasoma tu comments
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…