Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,931
[emoji44][emoji44][emoji44]ehNenda pale hotel ya jangwani Msasani zipo boti za kwenda huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji44][emoji44][emoji44]ehNenda pale hotel ya jangwani Msasani zipo boti za kwenda huko.
[emoji23][emoji23][emoji23] jf raha sanaHivi mbudya ipo kigoma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona Leo warembo wameamua kutuvunja mbavu
Nenda mbezi beach,itafite bahari ilipo hta kwa kuulizia,Huwa naskiaga mbudya mbudyaa....nataman sana fika anejua full details jins ya kufika nk...embu titirika hapa
Wanakata nini tena mkuu??Huko watu huwa wanakata sana kuna dogo alikata huko Na msanii moja Aseh hata sitamani kupasikiaa kabisa huko
Daah,rip pancho,jamaa ana maana wanafarik/kufa hko kwa ajaliWanakata nini tena mkuu??
DohDaah,rip pancho,jamaa ana maana wanafarik/kufa hko kwa ajali
Sina uhakika mkuu,ila me nadhan ukaribu wa pale beach na mbudya unawahadha watu wanakua careless,ila anything iktokea yale maji ni nyoso mkuu,hugusi chini.na km kuogelea hujui au km wengi wanakuaga tungi,madhara tunayaonaDoh
kwa hiyo mambo yetu yale ya kiswahili ya makafara yako mpaka huko??
kuna starehe sana mambo nje nje karibu...uchi uchi...Ipo mkuranga mbele kidogo
Avatar yako inafanana nabraisi Wa nchiJamaniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba
Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
Hivi Jangwani ipo Msasani kumbe!?Nenda pale hotel ya jangwani Msasani zipo boti za kwenda huko.
Iko wapi ndugu? maana mimi ni mgeni hapa mjini.Hivi Jangwani ipo Msasani kumbe!?
[emoji23][emoji23][emoji23]Muongo wewe
Huwa naskiaga mbudya mbudyaa....nataman sana fika anejua full details jins ya kufika nk...embu titirika hapa
Kuna visiwa viwili vyote vina starehe zinazofanana. Kuna kisiwa cha Mbudya na cha Bongoyo. Kisiwa cha Bongoyo kinafikika kupitia hotel ya slipway huwa kuna boat za kukufikisha huko na kuna huduma za samaki choma na vinywaji. Kisiwa cha Mbudya kinafikika kupitia white sands hotel au jangwani sea breeze. Nako huko mambo kama BongoyoHuwa naskiaga mbudya mbudyaa....nataman sana fika anejua full details jins ya kufika nk...embu titirika hapa
Hivi mbudya ipo kigoma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]