Muntu Ya Pori
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 222
- 64
nimechaguliwa mechanical engineering udsm, kama kuna anayesoma kozi hiyo au kachaguliwa naomba tufahamiane wadau. Pia kama kuna wadau jf wanaijua kozi hii naomba taarifa ya kozi kwa ufupi sana, na je,kibongo bongo inalipa?