kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
kimbembe cha kilikua kinakimbizwa sana especially tukitoka mechi za ugenini haijalishi tumeshinda ama tumeshindwa!!!!.
Wacha bana I wish zile siku zirudi nyuma milambo was my favourite!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kimbembe cha kilikua kinakimbizwa sana especially tukitoka mechi za ugenini haijalishi tumeshinda ama tumeshindwa!!!!.
our slogan ''walambo ni wamojaaa.''
KIswahili... kiingereza.. kifaransa... Na kilimo.Ina michepuooo...yenye sifa teleee,hasa wa lugha...
Ha ha ha ha......namkumbuka sana Njunwa alinipa adhabu ya kufagia barabara mwaka mzima. Hv Misana, Katondora Muchungu Sikazwe wapo? Mi nilimalizaga long time ago 2000....mwendo wa treni tu mpaka home
Me nilikuwaga mboyzia hv kwann bfu la milambo na waboizia haliish?
Mkuu jina lako linanikumbusha kesi moja hivii inaitwa KABULUNGU JUMA V/S REPUBLICWacha bana I wish zile siku zirudi nyuma milambo was my favourite!!!!!
daah! Walambo hebu tukumbushane kidogo kuhusu sxul yetu; mi naanza mnakumbuka bonge la bifu kati yetu na waboyziaa!!?.
Mkuu jina lako linanikumbusha kesi moja hivii inaitwa KABULUNGU JUMA V/S REPUBLIC
leo wameandamana mpaka ofisi ya RC kulalamika juu ya chakula.. wamechoka kula ugali kila siku..
Na wewe ni m-osu.?
Milambo Men, hili jina halikuwa rasmi ila lilikuwa likitumika kuwaonyesha Tabora boys si lolote si chochote. Haaahaah
Mimi ni ke mkuu..
Najua, nilimaanisha wewe ulikuwa tabora girls.? Hahaaah
hapana mkuu