WamLola JF-Expert Member Joined Aug 12, 2012 Posts 343 Reaction score 122 Sep 15, 2012 #1 jamani wana jf ambao tunaenda mu mbona mkpo kimya tufahamiane jamani pia tupeane mainfo kuhusu maisha ya kule.karibuni!!!!!!!!!!:A S 465::flypig:
jamani wana jf ambao tunaenda mu mbona mkpo kimya tufahamiane jamani pia tupeane mainfo kuhusu maisha ya kule.karibuni!!!!!!!!!!:A S 465::flypig:
Vodka JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 906 Reaction score 96 Sep 15, 2012 #2 Nipo,ila Unachukua nin mkuu?
WamLola JF-Expert Member Joined Aug 12, 2012 Posts 343 Reaction score 122 Sep 15, 2012 Thread starter #3 nipo BELGM mkuu
B Bona_Fide Member Joined Sep 15, 2012 Posts 59 Reaction score 20 Sep 15, 2012 #4 mtapeanaje ma-info ya kule wakati wote ni wageni??
brian360 JF-Expert Member Joined Mar 14, 2012 Posts 224 Reaction score 32 Sep 15, 2012 #5 hostel zile zilizotelewa kwenye joining instructions ni mpya!
Z ZeMarcopolo Platinum Member Joined May 11, 2008 Posts 14,040 Reaction score 7,303 Sep 15, 2012 #6 Mkienda shule msomi msiishie kwenda changarawe "kuto single"...
sweetlady JF-Expert Member Joined Dec 24, 2010 Posts 16,947 Reaction score 8,419 Sep 15, 2012 #7 Tupo kwani vipi?