Wale wa mzumbe mpo!

WamLola

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
343
Reaction score
122
jamani wale mu vp mpango wa makazi vyumba vikoje huko ss tusojua mazingira ya huko mtujuze wakubwa nimeona hosteli walizotuandikia ziko bei ya juu sana.:rockon:
 
Unakwenda kuchukua nini? yaani program gani huko?
 
vyumba ujanja kuwah dogo ukitaka kupata in campus cku ya kwanza ya registration uwe chuo ukiwa umelipa kila ki2 huna deni hata senti otherwz outside rmz r much xpensiv na most low quality those wit standard vko mbal frm chuo?
 
mfano nikifika mchana hapo mu cku ya kwanza ntapata chumba
 
vyumba ujanja kuwah dogo ukitaka kupata in campus cku ya kwanza ya registration uwe chuo ukiwa umelipa kila ki2 huna deni hata senti otherwz outside rmz r much xpensiv na most low quality those wit standard vko mbal frm chuo?

nasikia ambao wanapewa kipaumbele ni wale waliochaguliwa from TCU ni kweli hayo.
 
Njoo mapema ufanye payements then upige mishe upate room ndo urudi home hadi hapo mda wa kuja kuanza masomo utakapofika
 
Jamani from the Currently updates nilizozipata from chuo ni kuwa utaratibu wa ugawaji rum za ndani ya chuo hautakuwa kama miaka ya nyuma..!!1st masters students hawatapewa rum kabisa,na all students who rnt admited by TCU including those who will be taking Certificate,Diploma and Mature entry will not be considered in rums za ndani ya chuo....!!Hii ni kutokana na uchache wa hostel za ndani ya chuo na idadi kubwa ya wanafunzi wanaoletwa na TCU.
 
hosteli za nje ni gharama kweli kama wewe nimtoto wa mkulima huziwez!! kwa hiyo jipange kukaa ndani tu!
 
DUUUUUUUUU.....ebhna kweli kupata..Hosteli za Ndani Kama ww ni Private Kazi Ipo???????????
 
Hawa mu nao cwaelewi wameandika ukipata chumba ndo ulipie wakat kwenye join wameandika utakapoonyesha pay in slip hapo hapo utapewa room xo utasecure room vipi without paying first? Na wameongeza idadi ya wanafunz tena nimeona majina kwenye web yao.........af kwenye join wamesema kulipa mwisho ni tar30 wa tisa ambayo ishapita xo inakuwaje hapo kama bado hujalipa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…