Wale wa namba (Maths) tupeane sapoti hapa. Maswali hayaendi kabisa.....

yani hii post ghafla nimeikumbuka mt100 pale juu ya mlima dah hesabu ilinikimbiza sana.mwamba hii paper ni laini sana weka swali# tukupe maujanja ya porini.
 
Yapi hapo hayaendi? Sema kabisa.
Hapo ndio ilitakiwa ajieleze na tena isiwe anataka kujibiwa paper nzima ndio akili yake...
Amejaza hapa utopolo hapa, wa kiswahili, civics, geography. na sasa maths
Nilimwambia unataka msaada wa kujifunza au unataka ujibiwe maswali yote?
Akanipopoa mawe na kuniita msomi mchovu sijui chochote....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…