Enzi zile mkuu wa shule akiwa Rulukila form za kujiunga zilikua hazitumwi Kwa wanafunzi,ukifika unainunua kisha unaanza mchakato.Cha msingi ni kwenda na pesa za kujikimu na godoro.Niliipenda sana Ndabo maana umoja wao ndio sifa kuu,walimu ndio wanafunzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.