Wale wa Old Skool: Piggy wa Black huyu hapa

mkuu barikiwa weka huo wimbo wa fa sitaamka...nadhani kuo ulikuwa wimbo wa 3 baada ya ingekuwa vipi na mim na mabinti,then ndo iyo ngoma....nouma saaaana
 
Sawa mkuu nimetulizaa ilaa next time pia ujaribu kutulizaa KIPAPAA hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…