Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
chuo kuripot lin mkuu?
kaka join instruction inaonesha tar 9 September ndio reporting day
poa kaka. Kuna wa2 wanapeleka siku mbele kwa kusdma tar 16, so inakuwaje hapo?
Hivi tutaendaje bila hata kumalizana na loan board??
mi ntawasubili kaka ingawa kuna penalt ya 100000/-
Hivi kuna chuo kingine wanayowai kama Saut
tatizo ukichelewa room itabid kujtaftia kando.
laki saba na nusu kwa muda gani?
hv room pale tsh ngapi? Kwa private hostel bei mkasi kweli. Laki saba na nusu