Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
Wakuu mimi binafsi sihitaji kuishi hostel za chuo wala za watu binafsi bali nahitaji kuishi nje kidogo ya eneo la chuo hivyo kama kuna mtu anaweza kunipa support ya kunitafutia chumba maeneo ya nyegezi au hata mkuyuni anicheck hapa wakuu..