miss username
Member
- Mar 30, 2013
- 78
- 28
poa kaka. Kuna wa2 wanapeleka siku mbele kwa kusdma tar 16, so inakuwaje hapo?
Kuanzia tarehe 16 itakuwa ni wiki ya orietantion kama sikosei na pia ni wiki ya supplementary na special exams.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa kaka. Kuna wa2 wanapeleka siku mbele kwa kusdma tar 16, so inakuwaje hapo?
kaka vyuo vingi wanafungua october lakini chetu ndo tunawahi kuliko wote
Kinawahi kufungua na kuchelewa kufunga pia kuna likizo ya wiki tatu tu kwa mwaka mzima wa masomo. Christmas 2weeks & pasaka 1week.
Pia hakuna likizo kati ya semister moja hadi nyingine ni mwendo wa kuunganisha tu. Hizo ndo changamoto zetu
Karibuni SAUT main campus. Njoon tulijenge jiji la Mungu pamoja (Building the city of God) hiyo ndo slogan yetu
huku changanyiken chumba mpk elf 25..mpk 35 kwa mwez ambayo kwa mwaka n sawa n sh lak 300000 mpk lak 420000..
1.igogo ya tanesco
2.nile pearch
3.mkuyuni
nk
saut wanawahi sana kufungua jamani vyuo vingine vyote mwezi wa kumi
huku changanyiken chumba mpk elf 25..mpk 35 kwa mwez ambayo kwa mwaka n sawa n sh lak 300000 mpk lak 420000..
1.igogo ya tanesco
2.nile pearch
3.mkuyuni
nk
Mbali na hiyo bei, kwa maeneo uliyotaja, wataarifu juu ya nauli ya express/hiace/daladala/matatu/etc ya Sh. 400/= hadi Nyege-zi Kona na Sh. 400/= kutoka Nyege-zi Kona hadi Malimbe. Hivyo nauli (one-way) ni Sh. 800/=. Nauli (return) ni 800/= x 2 = 1,600/= kwa siku!
Cheap is sometimes expensive!
Mbali na hiyo bei, kwa maeneo uliyotaja, wataarifu juu ya nauli ya express/hiace/daladala/matatu/etc ya Sh. 400/= hadi Nyege-zi Kona na Sh. 400/= kutoka Nyege-zi Kona hadi Malimbe. Hivyo nauli (one-way) ni Sh. 800/=. Nauli (return) ni 800/= x 2 = 1,600/= kwa siku!
Cheap is sometimes expensive!
Ebana kama ukitoka huko igogo, mkuyuni n.k unalipa sh 400 mpaka chuo kama ukpanda magari yanayoenda luchelele lakin ukipanda yanayoenda mkolani mpaka buhongwa ndiyo itakuwa nauli mara 2
Real? Vp kwa sasa chuo kimefunga dents wako likizo, field au wapi?
huku changanyiken
chumba mpk elf 25..mpk 35 kwa mwez ambayo kwa mwaka n sawa n sh lak
300000 mpk lak 420000..
1.igogo ya tanesco
2.nile pearch
3.mkuyuni
nk