Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
hello mambo vipi kwanza !
Nina maswali haya hapa kama unaweza moja wapo ya hayo basi nitashukuru kama ufafanuzi utatolewa
1. Kuna second round yeyote aliyepata chuo up to now?
2. mbona kwenye profile kama yangu niliandikiwa proccessed succesfully. You have been selected na nikiangalia chuo nilichoomba (UDOM) jina langu halipo ila hiyo course waliopata ni 27 (Baed.(PSCH)
je kunauwezekano yakatoka tena?
3.mwisho kabisa ni ushauri wale ambao hatujapataup to now tujiandae kupokea majibu kukosa au kupata na siyo kuwa na presha mpaka no kula
NAOMBA MAJIBU MWENYE KUFAHAMU
Nina maswali haya hapa kama unaweza moja wapo ya hayo basi nitashukuru kama ufafanuzi utatolewa
1. Kuna second round yeyote aliyepata chuo up to now?
2. mbona kwenye profile kama yangu niliandikiwa proccessed succesfully. You have been selected na nikiangalia chuo nilichoomba (UDOM) jina langu halipo ila hiyo course waliopata ni 27 (Baed.(PSCH)
je kunauwezekano yakatoka tena?
3.mwisho kabisa ni ushauri wale ambao hatujapataup to now tujiandae kupokea majibu kukosa au kupata na siyo kuwa na presha mpaka no kula
NAOMBA MAJIBU MWENYE KUFAHAMU