Finder boy JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 608 Reaction score 150 Sep 9, 2013 #1 leo nimetembelea web ya st john nikakuta taarifa hizo. Tatizo chuo hiki kila kitu kiko kwenye pdf files, ivyo sikuweza kusoma yaliyomo maana device yangu haisupport pdf files. Habari ndo hiyo, kazi kwenu!
leo nimetembelea web ya st john nikakuta taarifa hizo. Tatizo chuo hiki kila kitu kiko kwenye pdf files, ivyo sikuweza kusoma yaliyomo maana device yangu haisupport pdf files. Habari ndo hiyo, kazi kwenu!
Y yo-wizzle Member Joined Aug 3, 2013 Posts 36 Reaction score 5 Sep 9, 2013 #2 ni kweli kaka nimeyaona kumbe airtel yatosha hawakutudanganya bhanaaaaaaaaaaaaa........................
ni kweli kaka nimeyaona kumbe airtel yatosha hawakutudanganya bhanaaaaaaaaaaaaa........................
mwelulila Senior Member Joined Jul 30, 2013 Posts 109 Reaction score 4 Sep 9, 2013 #3 je naweza kuhama course kabla ya registration kwa sababu niko karibu na chuo hapa!!!!!