Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
jamani tuliochaguwa st.john ya dodoma tupeane taarifa hapa maana wengine hatujui ata reporting date na admission letter (joining) tutapata vipi kwakuwa kwenye web ya chuo hakuna taarifa hizi. Brothers and Sisters mnaoendelea na masomo hapo st.john tunahitaji mwongozo wenu.