Wale wa SUA mkopo huu hapa

Sasa hebu niambie SUA kule mazimbu yalipokuwa makambi ya wakimbizi wa south kuna bata gani? Chuo kama shule ya msingi bhana.
Haya wenye vyuo maghorofa endeleeni kusubiri mkopo basi chuo cha mifugo sua washapata
 
Alafu we una iq ndogo kweli.jina chuo cha kilimo ndo linakufanya uone chuo kizima ni cha kilimo.hilo ni jina tu kutokana na aina ya course ambazo chuo kilikuwa kinatoa mwanzo kilivyokua kinaanzishwa ambazo zilikuwa ni kilimo tu sahv chuo kishapanuka na kinatoa course nyingine tofauti kabisa na kilimo so siyo kila anayesoma pale anasomea kilimo
 

Chuo cha vilaza kile kuna jamaa zangu pale kila mwaka lazima mnywe supu za kutosha, alafu mnasingizia msuli mgumu na akati div3 chakavu zimejaa pale sasa ufaulu utoke wapi kwa hali kama hiyo?
 
If u dont know kaa kimya.coz za pale nyingi ni unique.ud mwaka huu kuna hadi four sa kama sua wenye three we unawaona vipanga hao ud wenye four sijui utawaitaje and nitajie chuo chochote unachodhani hakichukui three

Unique gani wa kozi unaozungumzia wewe kichwa box? Yani hadi ufugaji wa nyuki na sungura unahitaji kukaa darasani miaka 3 hadi 5? Sua ni njaa tupu pale hakuna kitu.
 
Sua coz nyingi ni science so lazima mkopo uwe vizuri.kwa hivi vyuo vya kata full arts wategemee msiba mwaka huu serikali haina hela

Wewe tz hela ipo! itapandishwa bei ya mafuta ya petroli bia,na nyama,pesa ya mkopo lazima vijana wapewe tena mwaka kesho uchaguzi wewee ata kama ni BA butchery tunapata tena 80%,Baada BMK,HESLB wee taxpayers mo money!
 
Unique gani wa kozi unaozungumzia wewe kichwa box? Yani hadi ufugaji wa nyuki na sungura unahitaji kukaa darasani miaka 3 hadi 5? Sua ni njaa tupu pale hakuna kitu.

Poa mkuu acha wenye njaa tuendelee kusoma pale chuo chetu cha kishamba
 
mkuu magoma manne yani umetisha sana mkuu.....mimi watatu tu watanitosha...na hizo pesa yani nazidi changanyikiwa nadhani nitaishi kama nipo peponi yani....mkuu nadhani nitakutafuta nikifika mazimbu...umenifurahisha sana maelaaaaaaaaaaa kama nipo ulaya
 
huyu boya katokea wapi aiseeee....mm nina
division 1 na naenda kupiga agribusiness...

Dogo achane nae anatupotezea time..hajui agribussiness wanasoma watu wenye High performance sio vilaza kama yeye.wengine mabwabwa humu wanahamu ya kufumuliwa marinda
 
Ukifika nitafute c ndo wakongwe hichi chuo.nitakupa technique zote za kudaka magoma makali
 
Endeleeni kupeana ushauri ovyo 2..bado muwashaur madogo waje wapige msurii!? mnawashauri kukamatia totoziii!, mwsho wa cku unatoka umedisco na gonjwa juu..ila ni maono yangu 2..maneno yangu cyo shariaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…