Wale wa Sua tufahamiane humu

Kaka unatutisha mpaka naogopa,ila asante kwa tahadhari yako,naimani kila mtu ana malengo yake,na si kwa sua tu,hakuna kitu kizuri kama kuwa competative,na kujivunia mafanikio yako

kumbuka pia lecture masaa ma3!upo hapo,bt dg uchanye utatoboa2 ukpunguza ubitoz!
 
wale wa bvm mkifika mnitafute... !! ni wape mbinu za kusoma...maana shule yetu si ya kitoto...
 
Na hivi pass ni 50,wakati vyuo vingine ni B plane hyo
 
mimi nimechaguliwa Bachelor of Science in Agricultural Economics and Agribusiness SUA xo tutakutana hasa wale wa Solomon campus
 
poa wale wa AEA second year my namba is 0763886451 au 0712485297 ningependa nipate dondoo ili nijipange zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…