JOSEPHAT_07
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 303
- 181
Wakuu naombeni msaada kunabaadhi ya wanafunzi tuliochaguliwa UDOM, Tumebadilishwa kozi kwa madai et kozi nyingine zina watu wachache.
Mfano mim nilichaguliwa Bsc in Petroleum Engineering lakini UDOM wametoa majina wamenipangia Geoinformatics ambayo ni Non priority facaty.
Msaada wa ndugu
Mfano mim nilichaguliwa Bsc in Petroleum Engineering lakini UDOM wametoa majina wamenipangia Geoinformatics ambayo ni Non priority facaty.
Msaada wa ndugu