Wale wa udom

Joined
Jun 22, 2013
Posts
61
Reaction score
3
Jaman naomba msaada kuhusu hili suala la kulipia direct cost pamoja na tuition fee kabla ya huu mwezi kuisha!imekaaje hiyo au nikulipia direct cost peke yake afu fee badae?au nikulipia zote?mwenye uelewa na hili anifahamishe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…