Jackson Barnabas
Member
- Jun 22, 2013
- 61
- 3
Habari zenu wakuu!naomba msaada kwa aliyeweza kufungua adm letters za UDOM,mimi nimejaribu kufuata maelekezo kama walivyoelekeza kwa kuingiza index no.ya form 4 kama username na surname kwaherufi kubwa kama password lakini inaniandikia 'username na password did not match'kama kunayeyote mwenye uelewa na hilo anisaidie wadau![/QUO
udom system inasumbua ila kwa msaada weka no yako ya form 4 hapa na ubini wako tukucheki,,,,, \
Karibu University of Dodoma
Habari zenu wakuu!naomba msaada kwa aliyeweza kufungua adm letters za UDOM,mimi nimejaribu kufuata maelekezo kama walivyoelekeza kwa kuingiza index no.ya form 4 kama username na surname kwaherufi kubwa kama password lakini inaniandikia 'username na password did not match'kama kunayeyote mwenye uelewa na hilo anisaidie wadau![/QUO
udom system inasumbua ila kwa msaada weka no yako ya form 4 hapa na ubini wako tukucheki,,,,, \
Karibu University of Dodoma
S0147/0081/2004 ubini BARNABAS
Keep trying! Kama inazingua jaribu kubadili jina yaan pasword na username unainterchange
ok kuna tatizo hapo mkuu mimi nilikua nalo pia lakin baada ya kuwasiliana nao kupitia namba zao za huduma kwa wateja hilo tatizo walilimaliza then nikafanikiwa kudownloa na kuprint.so ushauri wangu wasiliana nao kupitia namba walizozitoa kwenye website kwenye ALIS tatizo litakwisha.
ok kuna tatizo hapo mkuu mimi nilikua nalo pia lakin baada ya kuwasiliana nao kupitia namba zao za huduma kwa wateja hilo tatizo walilimaliza then nikafanikiwa kudownloa na kuprint.so ushauri wangu wasiliana nao kupitia namba walizozitoa kwenye website kwenye ALIS tatizo litakwisha.
jaman wana wa udom wenzangu eti medical examination form tunazipataje???
unaongea abt rumz udom?hatuna shida za rumzz pande izo tena nadhan nyingine zitakuwa wazi
ok kuna tatizo hapo mkuu mimi nilikua nalo pia lakin baada ya kuwasiliana nao kupitia namba zao za huduma kwa wateja hilo tatizo walilimaliza then nikafanikiwa kudownloa na kuprint.so ushauri wangu wasiliana nao kupitia namba walizozitoa kwenye website kwenye ALIS tatizo litakwisha.
jaman wana wa udom wenzangu eti medical examination form tunazipataje???