kuhusu suala la registration lazma uwe na admission letter ambayo inapatikana sehemu ulikopangiwa,main campus,DUCE na MUCE.Na vitu vinavyotakiwa wakati wa registration ni-1.direct costs 2.lazima ulipie accomodation kama umepata hosteli za chuo 3-vyeti vinavyotakiwa ni (a) academic certificate form 4(original na copy yake) (b) result slip ya form 6(original na copy yake) (c) birth certificate(original na copy yake) (d) death certificate kama umeondokewa na mzazi mmoja au wote(original na copy yake) (e) kama una matatizo ya kiafya uje na form ambayo umepimwa na daktari (f) vitu vingine utavijua tu pindi ufikapo chuo,karibu sana dogo UDSM.