Wale wa wali nyama vitani mpo

Wale wa wali nyama vitani mpo

Screenshot_20240616-114906~2.jpg
 
mnaendeleaje, mnakwepaje mabomu
hatutegemei mlalamike
uzi tayari
Naona baada ya kumpeleka junior mtoto wa dada/shemeji yako shuleni huko tu hapo sofani sebuleni umening'iniza poumbou mkigombania rimoti na beki tatu ukisubiria lunch baadaye saa 9 ukamchukue dogo.
 
Naona baada ya kumpeleka junior mtoto wa dada/shemeji yako shuleni huko tu hapo sofani sebuleni umening'iniza poumbou mkigombania rimoti na beki tatu ukisubiria lunch baadaye saa 9 ukamchukue dogo.
mkuu mi si hivyo
huku kwangu ndo vitani kwenyewe wanakotaka kuja kula huo wali nyama
wali nyama vipo
 
Back
Top Bottom