Godfrey joseph kimar
Member
- Jun 13, 2013
- 14
- 0
kutoka jikoni ni kwamba majina ya wanafunzi walio apply vyuo vya uuguzi yangetakiwa kutoka leo lakini kutokana na tatizo la mtandao wameshindwa kuyaweka kwa hiyo majina hayo yatawekwa website ya wizara ya afya matengenezo yakishakamilika