Wale wacheza kamari CASSINO tukutane hapa

Wale wacheza kamari CASSINO tukutane hapa

Every hand is a winner, and every hand is a looser but INTELIGENCE matters.

Gambling haitegemei BAHATI peke yake, lazima uwe na kichwa chepesi, mwizi, muongo, mhuni, tapeli na KIPAJI pia. Lazima ujue muda gani utupe, muda gani usubiri, muda gani ukimbie mbio nyingi sana.
You've got to know when to hold 'em
Know when to fold 'em
Know when to walk away
And know when to run
You never count your money
When you're sittin' at the table
There'll be time enough for countin'
When the dealin's done


Every gambler knows
That the secret to survivin'
Is knowin' what to throw away
And knowin' what to keep
'Cause every hand's a winner
And every hand's a loser
And the best that you can hope for is to die
in your sleep

-Kenny Rogers
 
Hizo mambo ulizoainisha hapa kama ni kweli basi hii kitu ni yakuweka mbali na watoto.

Nakuacha haiwezekaniki kirahisi ni kama ujambazi maana ukipiga ni umepiga mpaka mtu umtoe huko aje akusanye buku buku mpaka zifike 27mill ngumu sana anaona hatofika safari yake ya mafanikio.

Sent from my Redmi Note 5 using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimpenzi Sana wa online games ila psychology imenishinda hua nakula sanaaaa ila najikuta napoteza kabisaaa in very short time...

Mchezo wangu mkubwa Ni DICE (Over/under7) hua naumia Sana naeza anaza na 5k mpaka 200k ila BOOOOOMMMM Nina 0 yani nimeshindwa kujicontrol kabisaaa...

Kuna mda nachukua mpunga nasema sichezi tena ila ghafla nsharudi online nagongwa yote....
Huu ugonjwa sijui niutib VIP
1xbet walivyotoa option ya mobile payment Nimeacha japo Kila siku nachungulia ka washarudisha.
 
  • Thanks
Reactions: bul
Mimi nimpenzi Sana wa online games ila psychology imenishinda hua nakula sanaaaa ila najikuta napoteza kabisaaa in very short time...

Mchezo wangu mkubwa Ni DICE (Over/under7) hua naumia Sana naeza anaza na 5k mpaka 200k ila BOOOOOMMMM Nina 0 yani nimeshindwa kujicontrol kabisaaa...

Kuna mda nachukua mpunga nasema sichezi tena ila ghafla nsharudi online nagongwa yote....
Huu ugonjwa sijui niutib VIP
1xbet walivyotoa option ya mobile payment Nimeacha japo Kila siku nachungulia ka washarudisha.
Tumia bitcoin ku withdraw na deposit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom