vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Kuna watu wamekuwa wakijifanya wapenzi wa Gamondi utafikiri walikuwa wanamjua huyo Gamondi kabla ya Hersi kumleta Yanga. Yaani anajifanya kususa timu kisa tu uongozi kuachana na Gamondi na kuwatoa akili viongozi. Hawa watu wamfuate Gamondi huko anakoenda na wawe mashabiki wa hizo timu badala ya Yanga.
Mashabiki wa kukosoa kitu kabla hata kujipa muda kusubiri kuona matokeo ya viongozi kuleta kocha mpya umejipa au lah. Kila mtu anajigeuza mtabiri, huku mwingine anaombea eti kocha afeli ili uongozi ujifunze kufanya maamuzi ya busara, na kwenda uwanjani eti umesusa, sasa huyu shabiki ana tofauti gani na mchawi? Yaani ikitokea Yanga inafanya vizuri lazima nafsi itamuuma sana kwanini inafanya vizuri. Na huyu inaonekana alimpenda kocha bila sababu ya msingi na hakupenda timu.
Nifah na wengineo risiti zenu zipo, wote mliokuwa mmekosoa maamuzi ya kuondoka Gamondi sasa ole wenu timu ikifanya vizuri mlete shobo zenu, kwasasa mfuateni Gamondi, sisi mashabiki wa Yanga tunaendelea na ushabiki wetu wa timu.
Mashabiki wa kukosoa kitu kabla hata kujipa muda kusubiri kuona matokeo ya viongozi kuleta kocha mpya umejipa au lah. Kila mtu anajigeuza mtabiri, huku mwingine anaombea eti kocha afeli ili uongozi ujifunze kufanya maamuzi ya busara, na kwenda uwanjani eti umesusa, sasa huyu shabiki ana tofauti gani na mchawi? Yaani ikitokea Yanga inafanya vizuri lazima nafsi itamuuma sana kwanini inafanya vizuri. Na huyu inaonekana alimpenda kocha bila sababu ya msingi na hakupenda timu.
Nifah na wengineo risiti zenu zipo, wote mliokuwa mmekosoa maamuzi ya kuondoka Gamondi sasa ole wenu timu ikifanya vizuri mlete shobo zenu, kwasasa mfuateni Gamondi, sisi mashabiki wa Yanga tunaendelea na ushabiki wetu wa timu.