Hii data ya zamani sana.
Mbona Wabongo mnatoa povu namna hii. Ama ni kwa sababu mleta mada ameongea ukweli kwamba hamtulishi? Mna vituko sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo mwaka 2019, 2020 na 2021 huko kwenu ni enz za Danie Arap Moi sio ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii data ya zamani sana.
Kaka maisha ya Kenya tunayafaham....you guys earn a daily pay which ends up in nakumati stores....no food reserve in your homes....most of you have no Land....it all belongs to kenyata family....unabisha?? Hapo unapoishi ni kwenye estate ya developers....unabisha? Matatu unayopanda ni Sacco....unabisha? You don't own anything as a real man....shame!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusafiri Hadi Dar ni shida kwa mtanzania wa kawaida sembuse kuingia Kenya?Wakenya wanasumbua Sana mipakani mwetu Sasa hv kilasiku wanakamatwa na bodaboda zao kufata chakula kupitia njia za panya, ujiulizi kwanini watanzania hawakamatwi wakienda Kenya kufata chakula?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi evidence kuwa hio data ni ya 2019?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo mwaka 2019, 2020 na 2021 huko kwenu ni enz za Danie Arap Moi sio ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
KWAMBA UMEKUA KIPOFU HUONI JUU YA COLUM HIZO KUNA MIAKA ??? mwaka jana, mwaka huu na projection mwaka kesho?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapi evidence kuwa hio data ni ya 2019?
Nipe link nifuate mwenyewe huko ulikotoa huu upuzi.KWAMBA UMEKUA KIPOFU HUONI JUU YA COLUM HIZO KUNA MIAKA ??? mwaka jana, mwaka huu na projection mwaka kesho?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1419835
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi IMF na World Bank wanakinzana kuhusu uchumi wa Kenya
Mko kwenye dolla 1700, tuko kwenye dolla 1060... same groupBasi IMF na World Bank wanakinzana kuhusu uchumi wa Kenya
Kulingana na world bank, GDP per capita ya $1,250 na zaidi ni Middle income.Mko kwenye dolla 1700, tuko kwenye dolla 1060... same groupView attachment 1419976
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulingana na world bank, GDP per capita ya $1,250 na zaidi ni Middle income.
Kulingana na world bank, GDP per capita ya $1,250 na zaidi ni Middle income.
Umeona hiyo website lakn ? ni world bank hiyoKulingana na world bank, GDP per capita ya $1,250 na zaidi ni Middle income.
Sasa unabisha nini wewe Nyang'au?Baadhi ya wabongo wengi wasiokuwa informed kina joto la jiwe@geza ulole etc wanaishi wakisema Tanzania inalisha Kenya kwa kila kitu. Swali langu ni juu Kenya ilifunga mpaka mwezi ulio Isha tunakula mawe?maisha ina endelea kama kawaida huku na mwenye hela chakula kiko kingi. So next time you think that you feed us think twice.
Sent using Jamii Forums mobile app
You are correct,Kaka maisha ya Kenya tunayafaham....you guys earn a daily pay which ends up in nakumati stores....no food reserve in your homes....most of you have no Land....it all belongs to kenyata family....unabisha?? Hapo unapoishi ni kwenye estate ya developers....unabisha? Matatu unayopanda ni Sacco....unabisha? You don't own anything as a real man....shame!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna video imesambaa kwenye mitandao Kuna mchina amemwita Raisi wenu monkey pamoja na wakenya wote,mpambane kwanza na huyo mchina tena yuko nchini kwenuMbona Wabongo mnatoa povu namna hii. Ama ni kwa sababu mleta mada ameongea ukweli kwamba hamtulishi? Mna vituko sana.
Hio ni video ya zamani na pia ashakuwa deported. Anakula githeri huko kwaoKuna video imesambaa kwenye mitandao Kuna mchina amemwita Raisi wenu monkey pamoja na wakenya wote,mpambane kwanza na huyo mchina tena yuko nchini kwenu