Ndo uwezo wa kufikiri wa dada yule ulipoishiaAnatembea na mabody guard huku anakaa kwenye nyumba ya kupanga,hii ni akili au matope?
Am telling [emoji2] [emoji2] [emoji2] these two people wanajua vzr wanachokifanya ndo maana ESMA yuko kimyaMtashangaa mtoto wa pili atakapozaliwa
Wahindi wamejenga wapi?!acheni kukremu kwamba nyumba ndo utajiri hamisa ana 24yrsAnatembea na mabody guard huku anakaa kwenye nyumba ya kupanga,hii ni akili au matope?
Usikute bodyguard anakula fifty kwa mwezi.Anatembea na mabody guard huku anakaa kwenye nyumba ya kupanga,hii ni akili au matope?
Ndo uwezo wa kufikiri wa dada yule ulipoishia
Fifty? Kudagadesa! Si bora wakaokote makasha na chupa za vinywaji zilizotumika watatusua!!!Usikute bodyguard anakula fifty kwa mwezi.
Sasa hamisa ni mhindi,unawajua Watanzania wangapi waliojenga India kwa mfano?Wahindi wamejenga wapi?!acheni kukremu kwamba nyumba ndo utajiri hamisa ana 24yrs