Wale walinzi ( bodigadi) wanaomlinda Hamissa nani anawalipa kama siyo Diamond?

Ngoja akiumwa hapo utaskia bongo muvi wanapitisha kapu la michango
 
Kuna muda ukifika umri wa mabinti unastuck
Eti Vera sidika nae ana 21 ha ha ha
 
Kwa mitandaoni itaonekana hivyo ila in real life,she is cheap,mtu hata hajamaliza kunyonyesha keshakipeleka kenya kwa mwanaume mwingine
Nah! Anajaribu kuonesha ni namna gani maisha yake yalivyo expensive ili iandane na madai ya 5M kwa mwezi!
 
Umenisaidia sana eti 24yrs jamani uongo mwingine hata haufanani na ukweli ina maana alijuana diamond akiwa na 15yrs hahaaa haaaa
 
Yani nakwambia dada zetu hawa acha tu wenye akili zao akina Zari waje wanufaike maana wao wamelala sana na fursa hizi
 
Gigy Money anadaiwa kodi ya nyumba milioni 8 wakati huohuo kavaa wigi la milioni 5.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hawa mabinti wana vituko sana,maigizo non stop.
Lile Wigi alilolinunulia hapa hapa kisha Wigi hilohilo akaliagiza Nje?? au silo hilo
 
Tununu ana vituko jamani.
Kwa mkomao ule eti 24 years. Tanzania nchi ya maajabu
24-9=15,
So kaanza Kutoa Mbwa Bandani na Mondi akiwa na miaka 15,
Na hapo Mondi hajamkuta Bikra, labda ye ni kama wa 6 hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…